Pages

Pages

Wednesday, February 20, 2008

KIMETOKEA NINI JAMBOFORUMS?

Ukumbi maarufu wa mtandao (web forum) kwa Watanzania,JAMBOFORUMS,hauko hewani.Kwa mujibu wa taarifa kutoka KLH NEWS,wanachama wawili wa Jamboforums walikuwa wakishikiliwa na polisi kwa tuhuma zinazoashiria kuhusishwa na ushiriki wao kwenye Ukumbi huo.Kwa habari zaidi,soma HAPA na HAPA

No comments:

Post a Comment