TEH TEH TEH,KUMBE VILAZA WA NAMBA TUKO WENGI (KATUNI)
Mie adhabu zangu HUKO O'level zilikuwa kwenye namba (HISABATI) ambayo kwa miujiza mikubwa nillibuka na D (japo ilikuwa dhaifu mno,na chupchup iwe F) na FIZIKIA ambayo sikuwa na ujanja nayo na nikaambulia F.
No comments:
Post a Comment