Pages

Pages

Monday, August 08, 2011

PICHA: London Yaendelea Kuwaka Moto kwa Vurugu Kufuatia Mweusi Kuuawa na Polisi


Mauaji ya Mark Duggan,Mwingereza Mweusi,yaliyotokana na kupigwa risasi na polis hapo Alhamisi iliyopita ndio yamepelekea vurugu kubwa zinazoendelea katika kitongoji cha Tottenham,Kaskazini mwa jiji la London kama picha zifuatazo zinavyoonyesha






















CHANZO: Daily Mail

No comments:

Post a Comment