Pages

Pages

Saturday, September 20, 2008

TZIPI LIVNI:MWANAMAMA SHUSHUSHU WA SHOKA

Baada ya kushinda uongozi ndani ya chama chake cha Kadima,kuna dalili kubwa kwamba Tzipi Livni,shushushu wa zamani wa Mossad,anaweza kuchukua cheo cha Uwaziri Mkuu wa Israel,taifa linalofahamika zaidi kwa ubabe.Historia ndefu ya mwanamama huyu inapatikana HAPA

No comments:

Post a Comment