Featured Posts

Saturday, September 20, 2008

TZIPI LIVNI:MWANAMAMA SHUSHUSHU WA SHOKA

Baada ya kushinda uongozi ndani ya chama chake cha Kadima,kuna dalili kubwa kwamba Tzipi Livni,shushushu wa zamani wa Mossad,anaweza kuchukua cheo cha Uwaziri Mkuu wa Israel,taifa linalofahamika zaidi kwa ubabe.Historia ndefu ya mwanamama huyu inapatikana HAPA

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India