Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema inazungumzia namna watawala wetu wanavyoendekeza matumizi ya anasa huku wananchi wa kawaida wakizidi kuwa masikini.Bonyeza HAPA kusoma makala hiyo pamoja na habari na makala nyingine maridhawa katika jarida hili maridhawa la RAIA MWEMA.
No comments :
Post a Comment