Featured Posts

Monday, June 10, 2013

Rest in Peace Mama Mzazi wa Bloga mwenzangu na dada yangu Lilly Melody


Bloga mwenzangu Lilly Melody amefiwa na mama yake. Bado sina taarifa za kutosha kuhusu tukio hili la kuhudhunisha mno.Kwa wakti huu ninawaomba wasomaji wa blogu tuungane kumwombea marehemu na kumfariji mfiwa.

Pumziko la milele, umpe ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani Amen.

Pole sana Lilly

1 comments:

Mija Shija Sayi said...

Poleni sana, Mwenyezi Mungu awatie nguvu. RIP Mama..

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India