Featured Posts

Monday, April 17, 2006

KARIBUNI

Mimi ni Mtanzania ambaye niko masomoni hapa Scotland.Huwa ninatoa makala katika gazeti la KULIKONI ambalo hutoka kila wiki huko nyumbani Tanzania.Lengo la kuanzisha blogu hii ni kutoa fursa kwa Watanzania wenzangu hususan wale walio nje kuweza kusoma makala zangu ambazo kwa bahati mbaya hadi sasa bado haziko katika mtandao.Pia nadhani blogu hii itatoa fursa ya kuchambua,kujadili,kukosoa na kueleimishana kuhusu masuala balimbali yanayoihusu nchi yetu ya Tanzania.
Karibuni sana.

2 comments:

EVARIST said...

Karibuni sana waungwana.

nuramtanga said...

hi dear,haya naona maendeleo sasa..haya utundu huu kakufundisha nani??
mie mzima..call u later

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India