Featured Posts

Saturday, December 29, 2007

MOTHERWELL CAPTAIN DIES AFTER COLLAPSING DURING A MATCH


Kapteni wa timu ya soka ya Motherwell ya Scotland,Phil O'Donnell,amefariki dunia muda mfupi baada ya kuanguka uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu ya hapa dhidi ya Dundee United.Mchezaji huyo aliyeanguka wakati anabadilishana nafasi na mchezaji mwenzie (substitution),alitibiwa kwa muda mfupi uwanjani hapo kabla ya kupelekwa hospitalini,na hatimaye kupatikana habari kuwa amefariki.Katika mechi hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa Fir Park,mjini Motherwell,timu ya marehemu huyo ilishinda kwa mabao 5-3,na kufanikiwa kushika nafasi ya tatu nyuma ya Celtic na Glasgow Rangers. 

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India