
Katika makala yangu ndani ya toleo la wiki hii la gazeti la
Raia Mwema,nazungumzia suala zima la huduma bora.Makala inaanza kwa kuondoa fikra za "u-tambarare" wa maisha ya ughaibuni,zinazochochewa na taswira za runinga na magazeti ya kimataifa.Ni rahisi baadhi ya wenzetu walioko nyumbani kuhisi kwamba mambo huko "majuu" ni asali na maziwa (
land of honey and milk).Kilicho sahihi zaidi kuhusu maisha ya sehemu nyingi za dunia ya kwanza ni huduma inayoendana na matarajio ya mteja.Yaani mteja sio tu mfalme au malkia,bali sehemu ya familia ya watoa huduma (
of course kuna
exceptions...na kwa UK,tuna wahuni kama
British Telecoms-BT,na wababaishaji wengine lakini ni wachache).Maudhui ya makala ni hiyo kwenye
title ya
post hii:TANZANIA YENYE HUDUMA BORA INAWEZEKANA.Pamoja na habari na makala nyingine za daraja la juu kabisa,binjuka na makala hiyo kwa
KUBONYEZA HAPA.
Posted in: BT,HUDUMA,MAKALA,RAIA MWEMA,TANZANIA
Email This
BlogThis!
Share to Facebook
No comments :
Post a Comment