Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
ajali ngapi zilizowahi kutokea bila kuundiwa tume ya uchunguzi kwani hii ina nini? tena watu walikufa ni wawili tu! kule arusha,Tanga watu wangapi walikufa katika ajali na hatukusikia tume? kuna nini kinataka kufichwa hapa? kwanza kabisa inabidi chenge awe jela kwa kuendesha gari bila bima ya gari kwa miaka 2! ebu fikiria ungekuwa wewe unaedesha bila bima ya gari wacha kupata ajali? nahisi bado tanzania hatuna usawa!mbona yule kijana aliyemuua chacha wangwe hakupewa dhamana? au tuseme hao marehemu ndiyo walioua chenge katika ajili hiyo wangepewa dhamana? jamani lazima tutenda haki kwa kila mtanzania kwa vile ni haki ya mtanzania kuwa na haki katika nchi yake.kumwachia mzee chenge huru ni kuendeleza matabaka ya walionacho na wasio nacho.
Zipo dalili kwamba haki ya kweli kwenye vyombo vyetu vya sheria bado ni jambo lisilowezekana.
Wapo wenzetu wanahesabiwa haki kwa gharama ya haki za wanyonge.
Mfumo uliopo unaanza kujenga picha kuwa walio kwenye 'system' wanaweza kujiona juu ya sheria na wakatamba wapendavyo na asiwepo wa kuwagusa as long as wapo ndani ya mtandao. Wanapata haki isiyo yao kwa matumizi ya sheria hizi hizi zinazowakaanga walio 'nje' ya system.
Mifano iko mingi katika hili. Na huu wa Chenge unaleta hofu hiyo hiyo.
Kwa namna Polisi walivyoonekana kubehave katika tukio hili, mashaka yanakuwa mengi kuliko matumaini. Tunafika mahali pa kukosa imani nao. Tunakata tamaa kiwango cha ubeuzi. Na matokeo yake hayawezi kuwa mazuri.
Huu uandishi wa siku hizi ni zao la haya yanayoendelea. Wapo waandishi wanaoamua kupiga teke maadili ili ama kuyakandamiza haya mapapa mpaka wanapitiliza, ama kuyasaidia mapapa kupora haki ya wananchi.
Kwa hiyo tumefika mahali kwa jinsi kashfa zilivyo nyingi, serikali haiaminiki. Mahakama nayo inashakiwa kutumika kama mtaji wa kisiasa na Checheme. Bunge afadhali, nako huenda ni kwa sababu fulani fulani.
Ndio maana nilipokuwa najaribu kuchangia maoni kwenye ile article ya Chadema na mtaji wa kashfa za ufisadi (nafikiri kuna tatizo lilizua kupublish siku ile), nilijaribu kuonyesha kwa vipi ni afadhali kupiga kelele nje ya mahakama, kuliko kwenda mahakamani hali wakijua ni kupoteza muda?
Na kwa kufanya hivyo, hata kama hawataikomboa ile nyumba pale Magogoni, lakini kelele hizo zinaweza kabisa kupunguza usingizi wa pono kwa wananchi na kuwashawishi kujiunga nao na hatimaye kuongeza nguvu Bungeni.
Kama nje ya mahakama kunalipa, bora!
Ninachojaribu kusema ni kwamba waandishi ni sehemu ya jamii. Na kwa vile jamii inaumwa ubeuzi, na kujikuta ikifanya mambo yasiyotarajiwa, waandishi ni nani hata kikombe hicho kiwaepuke?
ajali ngapi zilizowahi kutokea bila kuundiwa tume ya uchunguzi kwani hii ina nini? tena watu walikufa ni wawili tu! kule arusha,Tanga watu wangapi walikufa katika ajali na hatukusikia tume? kuna nini kinataka kufichwa hapa? kwanza kabisa inabidi chenge awe jela kwa kuendesha gari bila bima ya gari kwa miaka 2! ebu fikiria ungekuwa wewe unaedesha bila bima ya gari wacha kupata ajali? nahisi bado tanzania hatuna usawa!mbona yule kijana aliyemuua chacha wangwe hakupewa dhamana? au tuseme hao marehemu ndiyo walioua chenge katika ajili hiyo wangepewa dhamana? jamani lazima tutenda haki kwa kila mtanzania kwa vile ni haki ya mtanzania kuwa na haki katika nchi yake.kumwachia mzee chenge huru ni kuendeleza matabaka ya walionacho na wasio nacho.
ReplyDeleteZipo dalili kwamba haki ya kweli kwenye vyombo vyetu vya sheria bado ni jambo lisilowezekana.
ReplyDeleteWapo wenzetu wanahesabiwa haki kwa gharama ya haki za wanyonge.
Mfumo uliopo unaanza kujenga picha kuwa walio kwenye 'system' wanaweza kujiona juu ya sheria na wakatamba wapendavyo na asiwepo wa kuwagusa as long as wapo ndani ya mtandao. Wanapata haki isiyo yao kwa matumizi ya sheria hizi hizi zinazowakaanga walio 'nje' ya system.
Mifano iko mingi katika hili. Na huu wa Chenge unaleta hofu hiyo hiyo.
Kwa namna Polisi walivyoonekana kubehave katika tukio hili, mashaka yanakuwa mengi kuliko matumaini. Tunafika mahali pa kukosa imani nao. Tunakata tamaa kiwango cha ubeuzi. Na matokeo yake hayawezi kuwa mazuri.
Huu uandishi wa siku hizi ni zao la haya yanayoendelea. Wapo waandishi wanaoamua kupiga teke maadili ili ama kuyakandamiza haya mapapa mpaka wanapitiliza, ama kuyasaidia mapapa kupora haki ya wananchi.
Kwa hiyo tumefika mahali kwa jinsi kashfa zilivyo nyingi, serikali haiaminiki. Mahakama nayo inashakiwa kutumika kama mtaji wa kisiasa na Checheme. Bunge afadhali, nako huenda ni kwa sababu fulani fulani.
Ndio maana nilipokuwa najaribu kuchangia maoni kwenye ile article ya Chadema na mtaji wa kashfa za ufisadi (nafikiri kuna tatizo lilizua kupublish siku ile), nilijaribu kuonyesha kwa vipi ni afadhali kupiga kelele nje ya mahakama, kuliko kwenda mahakamani hali wakijua ni kupoteza muda?
Na kwa kufanya hivyo, hata kama hawataikomboa ile nyumba pale Magogoni, lakini kelele hizo zinaweza kabisa kupunguza usingizi wa pono kwa wananchi na kuwashawishi kujiunga nao na hatimaye kuongeza nguvu Bungeni.
Kama nje ya mahakama kunalipa, bora!
Ninachojaribu kusema ni kwamba waandishi ni sehemu ya jamii. Na kwa vile jamii inaumwa ubeuzi, na kujikuta ikifanya mambo yasiyotarajiwa, waandishi ni nani hata kikombe hicho kiwaepuke?