Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
Hii track ni ya ovyo sina mfano. Wasanii wetu wataendelea kuwa maskini kutokana na kutojituma na kuigiza. Si vizuri kubeza kazi ya mtu. Hivyo hivyo si vizuri kusifia makosa. Sijui wenzangu.
Anonymous umeua!Mie kazi yangu ni kuposti tu.Reviewing nawaachia wadau.
Mkuu ingawa unasema kazi yako ni kuwakilisha, siyo kila kitu kinapaswa kuwakilishwa. Huu ni uchafu wa kisanii ambao blog makini kama yako haipaswi kuubeba. Njaa ya wasanii wetu kweli ndicho chanzo wasanii wa kibongo kuwa kama nepi. Wengine hutafuta sifa na kuiga wasijue hawafiki popote zaidi ya kuishia kuisha kwa ndoto kama wavuta bangi. Hawa si wasanii ni wababaishaji. Na huo ndiyo ukweli.
Hii track ni ya ovyo sina mfano. Wasanii wetu wataendelea kuwa maskini kutokana na kutojituma na kuigiza. Si vizuri kubeza kazi ya mtu. Hivyo hivyo si vizuri kusifia makosa. Sijui wenzangu.
ReplyDeleteAnonymous umeua!Mie kazi yangu ni kuposti tu.Reviewing nawaachia wadau.
ReplyDeleteMkuu ingawa unasema kazi yako ni kuwakilisha, siyo kila kitu kinapaswa kuwakilishwa. Huu ni uchafu wa kisanii ambao blog makini kama yako haipaswi kuubeba. Njaa ya wasanii wetu kweli ndicho chanzo wasanii wa kibongo kuwa kama nepi. Wengine hutafuta sifa na kuiga wasijue hawafiki popote zaidi ya kuishia kuisha kwa ndoto kama wavuta bangi. Hawa si wasanii ni wababaishaji. Na huo ndiyo ukweli.
ReplyDelete