Featured Posts

Sunday, April 11, 2010

EXCLUSIVE INTERVIEW NA SUPASTAA WA BONGOFLAVA

Kama nilivyoahidi awali,blogu yako itakuwa ikikuletea mahojiano na Watanzania 'wanaowakilisha' (representing) nchi yetu kwa namna moja au nyingine.Na sasa nafurahi kukujulisha kuwa blogu imekamilisha mahojiano na supastaa big name wa bongoflava.Could you make a guess?Hint: Ni msanii mwenye kipaji cha hali ya juu katika kupangilia verses na lyrics zake,sambamba na uwezo mkubwa wa 'kucheza na maneno' na kwa sasa ni mwana bongofleva mwenye elimu ya kiwango cha juu kabisa. Na hapa chini (video) inakupa hint zkubwa zaidi.
Mahojiano kamili yatawekwa hapa kesho katika versions mbili:Kiingereza na Kiswahili.USIKOSE

3 comments:

Albert Paul said...

Nashukuru sana kaka, nasubiria mahojiano hayo kwa hamu kwelikweli.

Albert Paul said...

Nashukuru sana kaka, nasubiria mahojiano hayo kwa hamu kwelikweli.

Albert Paul said...

Nashukuru sana kaka, nasubiria mahojiano hayo kwa hamu kwelikweli.

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India