Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
Kwa wenzetu hili linawezekana.
Bongo hata kama Rais angeharibu kwa kiwango kinachozidi tafsiri ya ubovu, hawezi kuwapo raia wa kumwajibisha na akawajibika. Na yeye kwa kutambua kuwa asilimia sabini na tano ya watu wake wanafuata mwelekeo wa upepo wa wajanja wasiozidi asilimia 15, basi anachoweza kukifanya ni kuimarisha idara ya propaganda za uwongo na kweli kukebehi wananchi katika kasuala ya msingi.
Nadhani utafika wakati ambapo na Bongo tutaanza kusikia maamuzi kama haya kwa Marais wanaoshindwa kukidhi matarajio ya wapiga kura.
Huu mtindo wa kujitetea kwa mamabo ambayo ni wazi, tukikwepa kuchukua hatua kwa kulinda heshima binafsi hauwezi kutusaidia.
Tumwige Brown.
Kwa wenzetu hili linawezekana.
ReplyDeleteBongo hata kama Rais angeharibu kwa kiwango kinachozidi tafsiri ya ubovu, hawezi kuwapo raia wa kumwajibisha na akawajibika. Na yeye kwa kutambua kuwa asilimia sabini na tano ya watu wake wanafuata mwelekeo wa upepo wa wajanja wasiozidi asilimia 15, basi anachoweza kukifanya ni kuimarisha idara ya propaganda za uwongo na kweli kukebehi wananchi katika kasuala ya msingi.
Nadhani utafika wakati ambapo na Bongo tutaanza kusikia maamuzi kama haya kwa Marais wanaoshindwa kukidhi matarajio ya wapiga kura.
Huu mtindo wa kujitetea kwa mamabo ambayo ni wazi, tukikwepa kuchukua hatua kwa kulinda heshima binafsi hauwezi kutusaidia.
Tumwige Brown.