Featured Posts

Monday, May 02, 2011

Breaking News: Osama bin Laden Auawa.



Breaking news kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kuhusu kuuawa kwa gaidi wa kimataifa Osama Bin Laden.Rais Barack Obama ametangaza taarifa hizo ambazo zitakuwa ahueni kubwa kwa Wamarekani baada ya kumwinda Osama kwa muongo mzima tangu mashambulizi ya September 11,2001 ambayo inaaminika yalipangwa na Osama.

Taarifa zaidi baadaye

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India