Featured Posts

Monday, July 16, 2012

Mchungaji Gwajima Azungumzia Sakata la Joshua the Kenyan (VIDEO)

 Sehemu ya kilichojiri Kanisani kwa mchungaji Gwajima, jumapili ya leo, pale mchungaji huyo mashuhuri nchini alipokuwa akikanusha kuwa kuna mtu mwenye asili ya Kenya ambaye alifika kanisani kwake kukiri na kutubu dhambi ya kuhusika kwake katika utekwaji na uteswaji wa Dr. Ulimboka, kama ambavyo jeshi la Polisi liliarifu hivi karibuni 

 Video na caption kwa hisani za Da Subi na Jukwaa Huru

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India