Featured Posts

Saturday, November 24, 2012

Hackers Bwana!!Wawafanyizia Mashushushu wa Uingereza: waweka tangazo feki la kazi la "Mwangamizaji wa Wasiotakiwa na Serikali"

Spoof! The fake advert for an MI6 'Target Elimination Specialist' appeared on the DirectGov Jobs website on Friday afternoon
Hacked: The advert went on to state that successful candidates would be trained in the use of sniper rifles, mini-submarines and jet packs
Vigogo katika Idara ya Kazi na Pensheni ya hapa Uingereza walikumbwa na taharuki baada ya hackers kubandika tangazo feki la kazi kwenye tovuti ya Idara hiyo kwa nafasi ya 'mtaalam wa kuangamiza watu wasiotakiwa na serikali' Government Elimination Specialist.

Katika tangazo hilo (angalia picha hapo juu) hackers hao walidai kuwa "katika nyakati fulani, serikali ya Uingereza huwa na hitaji la kuwaondoa watu ambao uwepo wao unatishia amani."

Katika tangazo hilo ka 'kuzushi' pia kuliwekwa anwani ya barua pepe ya Shirika la Kijasusi la Uingereza ambalo makao yake makuu yapo jirani na Daraja la Vauxhaul jijini London (pichani chini)

New workplace: The 'Target Elimination Specialist' would presumably work out of here, the MI6 HQ near Vauxhall Bridge

Kwa habari kamili BONYEZA HAPA

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India