Featured Posts

Sunday, August 11, 2013

Mwana FA na AY wapo nchini Afrika Kusini kurekodi video ya 'Cheza Bila Kukunja Goti'


Wasanii wawili wakongwe wa Bongoflava, Mwana FA na AY wapo nchini Afrika Kusini kurekodi video kwa ajili ya wimbo wao mpya wa Cheza Bila Kukunja Goti waliomshirikisha msanii mahiri kutoka Nigeria J. Martins.

Kwa mujibu wa taarifa nilizopewa na Mwana FA mwenyewe, wasanii hao pia jana walifanya 'shoo ya kufa mtu' jijini Pretoria.

Kaa mkao wa kula kusubiri video ya kiwango cha kimataifa kutoka kwa wasanii hao bora kabisa nchini Tanzania.

Sikiliza wimbo huo hapa chini


0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India