Mie adhabu zangu HUKO O'level zilikuwa kwenye namba (HISABATI) ambayo kwa miujiza mikubwa nillibuka na D (japo ilikuwa dhaifu mno,na chupchup iwe F) na FIZIKIA ambayo sikuwa na ujanja nayo na nikaambulia F.
Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
No comments :
Post a Comment