
Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
Mie yangu macho tu!Huyu jamaa kaahidi mpaka basi , sasa tusubiri akianza kushindwa kutimiza atachukua hatua gani!
Ila jamaa wanakuambia ndiye Mwanasiasa Afrika ambaye hauwezi kuchoka hotuba zake.
Hakawii kukata hotuba akawaimbieni na kucheza muziki unaoingizwa katikati ya hotuba, halafu akarudisha hotuba kuhusu kutetea yeye anafuata mila za Kiafrika ndio maana anawake wengi na inabidi atesti nje kidogo ilikujua Kimwana gani mwingine anafaa kuoa.
Ila jamaa namsifu kwa kujifunza mwenyewe kusoma mpaka kuchezea akili za waliosoma a.k.a wasomi.
Kazi ipo!
Si utani ndugu yangu.Uongozi Afrika ni vituko juu ya vituko
Mie yangu macho tu!Huyu jamaa kaahidi mpaka basi , sasa tusubiri akianza kushindwa kutimiza atachukua hatua gani!
ReplyDeleteIla jamaa wanakuambia ndiye Mwanasiasa Afrika ambaye hauwezi kuchoka hotuba zake.
Hakawii kukata hotuba akawaimbieni na kucheza muziki unaoingizwa katikati ya hotuba, halafu akarudisha hotuba kuhusu kutetea yeye anafuata mila za Kiafrika ndio maana anawake wengi na inabidi atesti nje kidogo ilikujua Kimwana gani mwingine anafaa kuoa.
Ila jamaa namsifu kwa kujifunza mwenyewe kusoma mpaka kuchezea akili za waliosoma a.k.a wasomi.
Kazi ipo!
Si utani ndugu yangu.Uongozi Afrika ni vituko juu ya vituko
ReplyDelete