
HUU NI NI UPUUZI.YAANI HAINGII AKILINI HATA KIDOGO.JAMANI,HIVI LINI MMEWAHI KUONA TAKUKURU WAKIKABIDHIWA USHAHIDI/TUHUMA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI AS SEEN IN THE PICTURE ABOVE?
Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
Kaka. Pole saana kwa haya ukabilianayo nayo. Niliwahi kuuliza tangu mwanzo kuwa kama kuna wenye dhamana ya kutambua na kuwakamata hawa mafisadi, iweje leo hii waje watajwe na Mengi kabla yake? Yaani kama Mengi anafikia hatua ya kuwataja, basi ana (japo) ushahidi (anaoamini) wa kutosha kuwahusisha hawa watu na ufisadi huu. Lakini kama anaweza kuwa nao na wahusika TAKUKURU NA SERIKALI KWA UJUMLA hawana, basi ni afadhali tukabinafsisha hiyo taasisi kwa Mengi. Na swali lisiloulizwa ni kuwa huyo Mengi amepataje taarifa ambazo wengine hawana? Ana mtandao wake wa kusaka habari ana anatumia njia za kifisadi kuzipata taarifa hizo?
Sasa ona haya yanayotia aibu kwa Takukuru kukabidhiwa ushahidi hadharani. Aibu kuliko maelezo.
Ni upumbavu uliozidi upumbavu wenyewe
Mzee wa Changamoto,yaani changamoto zinazolikabili taifa letu zinaongezeka kila kukicha na sijui hatma yetu ikoje!
HATIMA NI VITA, HAKUNA KINGINE, BILA KUTOANA ROHO ZA KIFISADI HAPO HATUENDI POPOTE.
Kaka. Pole saana kwa haya ukabilianayo nayo. Niliwahi kuuliza tangu mwanzo kuwa kama kuna wenye dhamana ya kutambua na kuwakamata hawa mafisadi, iweje leo hii waje watajwe na Mengi kabla yake? Yaani kama Mengi anafikia hatua ya kuwataja, basi ana (japo) ushahidi (anaoamini) wa kutosha kuwahusisha hawa watu na ufisadi huu. Lakini kama anaweza kuwa nao na wahusika TAKUKURU NA SERIKALI KWA UJUMLA hawana, basi ni afadhali tukabinafsisha hiyo taasisi kwa Mengi. Na swali lisiloulizwa ni kuwa huyo Mengi amepataje taarifa ambazo wengine hawana? Ana mtandao wake wa kusaka habari ana anatumia njia za kifisadi kuzipata taarifa hizo?
ReplyDeleteSasa ona haya yanayotia aibu kwa Takukuru kukabidhiwa ushahidi hadharani. Aibu kuliko maelezo.
Ni upumbavu uliozidi upumbavu wenyewe
Mzee wa Changamoto,yaani changamoto zinazolikabili taifa letu zinaongezeka kila kukicha na sijui hatma yetu ikoje!
ReplyDeleteHATIMA NI VITA, HAKUNA KINGINE, BILA KUTOANA ROHO ZA KIFISADI HAPO HATUENDI POPOTE.
ReplyDelete