Featured Posts

Friday, June 18, 2010

Gari Lapinduka Katika Msafara wa Kikwete

ZIARA ya Rais Jakaya Kikwete mkoani Kigoma jana ilipata mushkeli baada ya gari moja kupinduka wakati msafari wake ukitokea Kibondo kuelekea Kigoma Mjini.

Rais Kikwete, ambaye msafara wake umekuwa ukikumbwa na matukio ya hatari katika muda wa wiki tatiu, alikuwa anaenda Kigoma Mjini kuhitimisha ziara yake hiyo ya siku tatu mkoani hapa.

Awali matukio mawili yaliyoukumba msafara wake yaliyuhusu magari ya Ikulu, likiwemo gari alilopanda wakati akiwa ziara ya wiki moja jijini Dar es salaam ambalo lilichomoka tairi muda mfupi baada ya kushuka, lakini ajali ya jana ilihusu gari la CCM mkoani Kigoma.
. Soma habari kamili HAPA.

1 comments:

Anonymous said...

Accidents resulted of poor govenance from this current JK regime of being lack of punctuality and accountability...All those incedences of car accidents following JK journeys are made from those main factors mentioned earlier...Any unaccountable leader to tackle curruption has to pay the price of it...This is just showers, the heavy rain is coming on its way..

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India