Pichani juu ni muundo wa ndege za kizazi kijacho ambazo badala ya vijidirisha vidogo tulivyovizowea,ndege hizo zitakuwa transparent.Hiyo inamaanisha abiria wataweza kuona ndege inavyopasua anga...na hapo ndio shughuli kwa waoga wa vina.
Hata hivyo,kama wewe ni miongoni mwa waoga hao,basi usihofu sana kwani inatarajiwa kuwa ndege za aina hiyo zitaanza kazi miaka 40 ijayo.
CHANZO (NA KWA HABARI KAMILI): Daily Mail
No comments :
Post a Comment