Na wakati hayo yanatokea, Rais wetu mpendwa alikuwa Makao Makuu ya Shirika La Soka Duniani (FIFA) huko Uswisi na alipata fursa ya kupiga picha na Kombe la Dunia. Ikumbukwe pia kuwa Uswisi ndipo kulikohifadhiwa mabilioni yetu yaliyoporwa na mafisadi.
Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
No comments :
Post a Comment