Tumekuwa wepesi wa kulaumu zaidi kuliko kutenda. Sote twatambua uonevu unaofanywa na baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola hususan Jeshi la Polisi. Lakini kulaumu au kulaani pekee hakuwezi kumaliza tatizo husika, hususan katika nyakati ambazo kuna wenzetu wanateswa pasi hatia. Basi ombi langu kwako ni kutumia nafasi yako-iwe ni mtu maarufu, mfanyabiashara, mwanasiasa, nk-kumsaidia mwananchi huyu.Mie nimeanza kwa kuweka hadharani kilio chake.
No comments :
Post a Comment