Featured Posts

Sunday, March 16, 2008

HOW COULD THE RIGHT BE ALWAYS RIGHT?

Nawazungumzia wahafidhina.Wanafikiri siku zote wao wako sahihi,lakini licha ya fikra hizo mufilisi,wanataka ku-monopolize haki ya kuwa on the right of the political spectrum.And for that matter,Jeremiah Wright,yule livewire cleric wa Barack Obama yuko wrong ilhali right-wing lunatics like Bill O'ReillySean Hannity,Ann Coulter,Rush Limbaugh,ambao wanasifika kwa maneno machafu kupita kiasi,siku zote wako sahihi...according to them.Anyway,that's politics.Soma makala hii kuhusu uhusiano wa Obama na Rev Wright.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India