Featured Posts

Wednesday, March 12, 2008

KISHA TUWASAKE MAFISADI WA NGONO (MAKALA NDANI YA "RAIA MWEMA")

Makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatanua wigo wa uchambuzi kuhusu suala la ufisadi na kuangalia eneo jingine nyeti la ufisadi wa ngono.Umeshawahi kujiuliza ma-miss wangapi wanaletwa jijini Dar kutoka vijijini,wilayani au mikoani kisha kushirikishwa kwenye mashindano ya ulimwende na hatimaye kuachwa mikononi mwa fisi-maji wa ngono?Pamoja nahabari na makala nyingine zilizobobea,bingirika na makala yangu hiyo kwa KUBONYEZA HAPA

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India