Featured Posts

Friday, October 15, 2010

Makala Yangu ndani ya RAIA MWEMA: Ni Kweli Mashushushu Hutumiwa Kuhujumu Uchaguzi?


Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida maridhawa la Raia Mwema inazungungumzia madai ya mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema,Dkt Wilbroad Slaa,kuwa serikali ya Rais Jakaya Kikwete imesambaza maafisa usalama nchi nzima ili kuhujumu uchaguzi (kumsaidia Kikwete ashinde).Kwa kutumia taaluma na utaalam wa kutosha kuhusu masuala ya intelijensia,makala inajaribu kumpa mwangaza msomaji iwapo Idara yetu ya Usalama wa Taifa inaweza kutumiwa visivyo katika mazingira tuliyonayo sasa.

BONYEZA HAPA KUSOMA MAKALA HIYO Pamoja na habari na makala nyingine zilizokwenda shule katika jarida hili mahiri la Raia Mwema

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India