Featured Posts

Friday, July 29, 2011

Heri ya Siku yako ya Kuzaliwa,Mdau DIDI VAVA


Kuna watu wana umuhimu wa kipekee kwa blogu hii na maudhui yake kiasi kwamba kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa kwenye Facebook wall yao pekee ni sawa na utovu wa nidhamu.Didi Vava,Mtanzania mwenzetu mwenye makazi yake huko Marekani,ni mdau mkubwa wa blogu hii,na ni miongoni mwa Watanzania wanaoguswa sana na jinsi nchi yetu inavyotafunwa na mafisadi wakisaidiwa na kiza cha mgao wa umeme.

Basi Mdau Didi, mimi binafsi na wasomaji wote wa blogu hii tunakutakia kila la heri kwa siku hii na katika maisha yako kwa ujumla.

1 comments:

malkiory matiya said...

Hongera Didi Vava.

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India