Picha zote hizo kwa hisani ya gazeti la
Daily Mail zilidakwa na kamera dakika ambapo waogeleaji (pichani) walipokuwa wanajirusha kutoka jukwaani.Ashakum si matusi,hutolaumiwa ukidhani baadhi yao wanajikakamua msalani kushusha "kubwa".
Posted in: VITUKO
Email This
BlogThis!
Share to Facebook
No comments :
Post a Comment