Featured Posts

Wednesday, July 27, 2011

Tamko la Kihistoria na Hali ya Kuhudhunisha Nchini



From: Andrew Bomani
Subject: TAMKO LA KIHISTORIA NA HALI YA KUHUZUNISHA NCHINI!
Date: Monday, July 25, 2011, 3:26 AM

Ndugu msomaji,

Kufuatia ombwe la uongozi la kutisha nchini ambalo karibu kila Mtanzania anakiri ndiyo tatizo mama, baadhi yetu tumeona ni vyema tukawafikishia tamko ambalo liliwahi kutolewa mwaka 1995 na Jaji Bomani. Ni jambo la kusikitisha kwamba wananchi wengi wanadhani kwamba viongozi waliokuwepo wakati huo na waliopo sasa pengine ndiyo waliokuwa bora. Jambo hili ni hatari. Haiwezekani nchi yoyote ikakosa watu makini. Soma na tafakari namna mizengwe katika kupata viongozi makini inavyoweza kulifikisha taifa lolote mahali pabaya.

Mungu Ibariki Tanzania.

Tamko la Kihistoria



Barua ya UVCCM Kwa Jaji Bomani Kumwomba Agombee Urais 2005

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India