Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
Hongera. Endelea kuchanja mbuga, mkuu. Huwa napenda kusikia habari za namna hii. Wakati huu, wanablogu tumeshapata jina Bongo, kama ilivyodhihirika pale Michuzi alipopanda pipa kwenda kuhutubia mkutano wa diaspora London.
Wewe endeleza libeneke, maana mafanikio haya yanatunyanyua sote machoni mwa jamii. Kila la heri.
Asante sana kwa pongezi,Profesa.Asante zaidi kwa ushauri muhimu ulionipatia.Nashukuru sana
Hongera. Endelea kuchanja mbuga, mkuu. Huwa napenda kusikia habari za namna hii. Wakati huu, wanablogu tumeshapata jina Bongo, kama ilivyodhihirika pale Michuzi alipopanda pipa kwenda kuhutubia mkutano wa diaspora London.
ReplyDeleteWewe endeleza libeneke, maana mafanikio haya yanatunyanyua sote machoni mwa jamii. Kila la heri.
Asante sana kwa pongezi,Profesa.Asante zaidi kwa ushauri muhimu ulionipatia.Nashukuru sana
ReplyDelete