Featured Posts

Sunday, October 23, 2011

1974: Picha ya Gaddafi akiwa na Nduli Idi Amin kumkabidhi ndege zilizotumika kuivamia Tanzania1978-9

Kwa mnaojifanya kusahau: pichani juu ni Nduli Idi Amin akimtambuliha swahiba wake Gaddafi ka makamanda wa jeshi la Uganda,Machi mwaka 1974.Gaddafi alikuwa nchini humo kumkabidhi Amin ndege za kivita ambazo miaka minne baadaye zilitumika kwenye uvamizi wa Amin nchini mwetu (akisaidiwa zaidi na Gaddafi).Halafu Gaddafi huyuhuyu anastahili kufanyiwa maombolezo!!!!????

Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga,na picha na video zifuatazo zinaonyesha dakika za mwisho za dikteta huyo  kabla ya kupelekwa mbele ya haki













0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India