Featured Posts

Friday, October 14, 2011

Mbunge wa Mvomero Amos Makalla atembelea eneo la mgogoro wa ardhi Kinyenze




Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla (wenye suti) akiangalia uzio uliowekwa na mwekezaji katika Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, Wilayani Mvomero, Mkoa wa Morogoro na kuziba njia inayokwenda katika mtaa wa Mwanga  na katika mashamba. Pia mwekezaji huyo raia wa kigeni amechukua sehemu ya mashamba ya wananchi hao bila ya taarifa yeyote kwa Halamashauri ya Kijiji na wananchi.

--
*Mroki Mroki
*
*Director MD Digital Company*
*General Secretary PPAT*
*Professional Photojournalist & BLOGGER
P.O.BOX 110097,*
*Mob: +255 755 373999 */*+255 717 002303,*
*DAR ES SALAAM, TANZANIA*
**

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India