Featured Posts

Friday, October 24, 2008

JARIDA LA RAIA MWEMA WIKI HII: TAIFA LIKO HATARINI

WANASIASA, viongozi wa dini na wananchi wameelezea kushitushwa kwao na hali ya kisiasa na kiuchumi inavyoendelea nchini, wakisema kwa sasa nchi iko hatarini kutokana na kuibuka kwa matabaka ya wazi ya kijamii miongoni mwa wananchi, watawala na watu waliowazunguka...kwa habari hii na nyinginezo,pamoja na makala zilizokwenda shule,usikose kusoma toleo la wiki hii la jarida la RAIA MWEMA.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India