Featured Posts

Wednesday, October 08, 2008

THIS IS NOW TOO MUCH,TANESCO YATANGAZA TENA MGAO WA UMEME

Hawa TANESCO vipi?Kwanza walitangaza mgao wa umeme wa takriban masaa matano kwa siku kabla ya kuongeza muda na kuwa takriban masaa kumi kwa siku.Siku chache baadaye wakatangaza kuisha kwa mgao huo,lakini kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima,mgao umerejea tena.Ubabaishaji wa aina hii utaendelea hadi lini?

1 comments:

SIMON KITURURU said...

Kikwete amesema hili tatizo litakuwa histori hivi karibuni.Sitashangaa ikiwa ni kastori tu :-(

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India