![]() |
Baadhi ya wazazi wa watoto wanaugua ungonjwa wa malaria wakiwa nje ya Kituo cha Afya Nyamongo Wilayani Tarime |
CHANZO: Mwananchi
![]() |
Baadhi ya wazazi wa watoto wanaugua ungonjwa wa malaria wakiwa nje ya Kituo cha Afya Nyamongo Wilayani Tarime |
Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)
Your email address is safe with us!
![]() |
Baadhi ya wazazi wa watoto wanaugua ungonjwa wa malaria wakiwa nje ya Kituo cha Afya Nyamongo Wilayani Tarime |
Bila shaka umetumwa na akina Chahali wewe uichafue serikali yetu tukufu. Lakini unasahau au hujui kuwa zahanati za wilaani zinahudumiwa na halmashauri za wilaya na ndizo zinazotoa pesa kulipa kwa boharia mkuu wa madawa kuweza kupatiwa mgao wa dawa. Sasa kama halmashauri yenu ina daktari fisadi, yeye akipata mgao anaupeleka dukani kwake na hapo kunaonekana upungufu wa dawa au vitendea kazi. Amka anza kubanana nao huko wilayani kabla ya kulaumu serikali. ahadi zipo na zinatekelezeka nyie kama munawaachia mafisadi watafune kasma yenu ni juu yenu itakula kwenu
Laiza nenda darasani kajifunze vitu vinne ambavyo ni Management and leadership, na pia Accountability and Responsibility sijui tafsiri sahihi ya kiswahili katika haya mambo niliyotaja. Haya ni mambo ya msingi sana na makubwa katika kuelewa maana ya serikali na uongozi wa umma. Na hizi makala za Bwana Chahali...Utaposoma na kuelewa hayo mambo yalitajwa hapo juu. Nakupa ushauri uanze kusoma makala za Bwana Chahali...Kimsingi hivi sasa wewe unazielewa nyuma mbele, na siyo mbele nyuma
Pole anonymous...huenda mimi nazisoma kikuruani kulia kushoto...na siyo kushoto kulia. ati darasa la management and leadership ndiyo litaniconvince kuwa ahadi za serikali hazitekelezeki pale dawa zinapokosekana tarime.bwana mdogo, unakokwenda ndiko nilikotoka...nina umri wa miaka 53 sema hamsini na tatu...nimesoma na nina shahada ya pili ya sayansi ya fedha...rejea government gazette utaniona nimesajiliwa...naongea kwa takwimu na siyo kumfurahisha chahali na wewe....mnataka kutudanganya kuwa nabii amekuja tuwafuate jangwani mtuache bilka maji...hatudanganyiki...ngoja niendelee kuzisoma nyuma mbele nawe zisome mbele nyuma...tutafika tu,,,wewe mpinzani mimi mtetezi wa serikali na chama tawala...
Laiza, Inawezekana unavyo vyeti isipokuwa hauna uwezo wa kuelewa vitu kwa kina na hasa kama umepata hivyo vyeti kifisadi....Tena wewe ni miongoni waliosoma elimu ya bure mpaka chuo kikuu...Mimi elimu yangu ni ya juu zaidi yako. Mimi mtanzania kwa asili, nimesoma mpaka darasa tatu bure nikiwa bado Tanzania baada ya hapo nikaenda ughaibuni. Na hivi sasa nina Phd mbili hivyo nategemea nimekuacha nyuma sana kielemu na ubunifu. Nina miliki na kuendesha biashara binafsi kubwa tuu huku ulaya. Siwezi kutaja umri kwa sababu nitakuwa natoa identity yangu. Nadahni sasa utakuwaumelewa.
Kama unamiliki biashara ughaibuni na una PHd mbili kelele za nini huku kwetu? pilipili twala siye wewe zakuwashiani...Umeshindwa kutaja umri kwa kuelewa kuwa nakuacha mbali hivyo falsafa zako haziniikngii hata kwa robo thumni.Kizuri zaidi ni kuwa daima unakwenda kwa identity ya anonymous kwa sababu...unakaanga mbuyu ili wenye meno tutafune...tukivunja meno yetu...uko ughaibuni unamiliki biashara kuuuubwaaaa...big up
Laiza,Hii sababu tosha kwamba elimu yako uliyofuzu ni ya kifisadi animation,copy and paste style...Umeshindwa kuelewa kama nimeandika kiasili ni mtanzania ina maana gani!!
Bila shaka umetumwa na akina Chahali wewe uichafue serikali yetu tukufu. Lakini unasahau au hujui kuwa zahanati za wilaani zinahudumiwa na halmashauri za wilaya na ndizo zinazotoa pesa kulipa kwa boharia mkuu wa madawa kuweza kupatiwa mgao wa dawa. Sasa kama halmashauri yenu ina daktari fisadi, yeye akipata mgao anaupeleka dukani kwake na hapo kunaonekana upungufu wa dawa au vitendea kazi. Amka anza kubanana nao huko wilayani kabla ya kulaumu serikali. ahadi zipo na zinatekelezeka nyie kama munawaachia mafisadi watafune kasma yenu ni juu yenu itakula kwenu
ReplyDeleteLaiza nenda darasani kajifunze vitu vinne ambavyo ni Management and leadership, na pia Accountability and Responsibility sijui tafsiri sahihi ya kiswahili katika haya mambo niliyotaja. Haya ni mambo ya msingi sana na makubwa katika kuelewa maana ya serikali na uongozi wa umma. Na hizi makala za Bwana Chahali...Utaposoma na kuelewa hayo mambo yalitajwa hapo juu. Nakupa ushauri uanze kusoma makala za Bwana Chahali...Kimsingi hivi sasa wewe unazielewa nyuma mbele, na siyo mbele nyuma
ReplyDeletePole anonymous...huenda mimi nazisoma kikuruani kulia kushoto...na siyo kushoto kulia. ati darasa la management and leadership ndiyo litaniconvince kuwa ahadi za serikali hazitekelezeki pale dawa zinapokosekana tarime.bwana mdogo, unakokwenda ndiko nilikotoka...nina umri wa miaka 53 sema hamsini na tatu...nimesoma na nina shahada ya pili ya sayansi ya fedha...rejea government gazette utaniona nimesajiliwa...naongea kwa takwimu na siyo kumfurahisha chahali na wewe....mnataka kutudanganya kuwa nabii amekuja tuwafuate jangwani mtuache bilka maji...hatudanganyiki...ngoja niendelee kuzisoma nyuma mbele nawe zisome mbele nyuma...tutafika tu,,,wewe mpinzani mimi mtetezi wa serikali na chama tawala...
ReplyDeleteLaiza, Inawezekana unavyo vyeti isipokuwa hauna uwezo wa kuelewa vitu kwa kina na hasa kama umepata hivyo vyeti kifisadi....Tena wewe ni miongoni waliosoma elimu ya bure mpaka chuo kikuu...Mimi elimu yangu ni ya juu zaidi yako. Mimi mtanzania kwa asili, nimesoma mpaka darasa tatu bure nikiwa bado Tanzania baada ya hapo nikaenda ughaibuni. Na hivi sasa nina Phd mbili hivyo nategemea nimekuacha nyuma sana kielemu na ubunifu. Nina miliki na kuendesha biashara binafsi kubwa tuu huku ulaya. Siwezi kutaja umri kwa sababu nitakuwa natoa identity yangu. Nadahni sasa utakuwaumelewa.
ReplyDeleteKama unamiliki biashara ughaibuni na una PHd mbili kelele za nini huku kwetu? pilipili twala siye wewe zakuwashiani...Umeshindwa kutaja umri kwa kuelewa kuwa nakuacha mbali hivyo falsafa zako haziniikngii hata kwa robo thumni.Kizuri zaidi ni kuwa daima unakwenda kwa identity ya anonymous kwa sababu...unakaanga mbuyu ili wenye meno tutafune...tukivunja meno yetu...uko ughaibuni unamiliki biashara kuuuubwaaaa...big up
ReplyDeleteLaiza,Hii sababu tosha kwamba elimu yako uliyofuzu ni ya kifisadi animation,copy and paste style...Umeshindwa kuelewa kama nimeandika kiasili ni mtanzania ina maana gani!!
ReplyDelete