
Kwa mujibu wa
The Citizen,Tanzania itakumbwa na mgao wa umeme wa masaa matano kwa siku kutokana na kuharibika kwa mitambo ya Songas.
Let's hope this won't lead to another Richmond-like scam.Lakini pengine huu ni wakati mwafaka wa kujiuliza ni lini matatizo ya umeme yatakwisha nchini.Katika kipindi nilichokuwa nyumbani hivi karibuni,katika baadhi ya maeneo kama Sinza ilikuwa
as if tayari kuna mgao wa umeme.Yayumkinika kuhisi kwamba kuna mafisadi wanaoombea tatizo hilo liwe kubwa zaidi ili watuumize tena.
Who know,they might even be the force behind the Songas turbine collapse.
Posted in: MAFISADI,RICHMOND SCAM,SONGAS,TANESCO,TANZANIA,THE CITIZEN
Email This
BlogThis!
Share to Facebook
No comments :
Post a Comment