Featured Posts

Thursday, September 25, 2008

MGAO WA UMEME KURUDI TENA TANZANIA

Kwa mujibu wa The Citizen,Tanzania itakumbwa na mgao wa umeme wa masaa matano kwa siku kutokana na kuharibika kwa mitambo ya Songas.Let's hope this won't lead to another Richmond-like scam.Lakini pengine huu ni wakati mwafaka wa kujiuliza ni lini matatizo ya umeme yatakwisha nchini.Katika kipindi nilichokuwa nyumbani hivi karibuni,katika baadhi ya maeneo kama Sinza ilikuwa as if tayari kuna mgao wa umeme.Yayumkinika kuhisi kwamba kuna mafisadi wanaoombea tatizo hilo liwe kubwa zaidi ili watuumize tena.Who know,they might even be the force behind the Songas turbine collapse.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India