Featured Posts

Saturday, April 16, 2011

Breaking News: Chadema Wataja Orodha Mpya ya Mafisadi.Wamo Malecela,Magufuli


Kama ilivyoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari,Chama cha Demokrasia Na Maendeleo (Chadema) leo kimefanya mkutano wake wa hadhara mjini Tabora na kutaja orodha mpya mafisadi ikiwa ni ziada ya wale waliotajwa kwenye List Of Shame,Mwembeyanga.

Kwa mujibu wa habari zilizokwishapatikana hadi muda huu,mafisadi wapya ni pamoja na mwanasiasa mkongwe John Malecela na Waziri wa Ujenzi na Miundombinu John Pombe Magufuli.

Kwa habari kamili fuatilia HAPA

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India