Featured Posts

Sunday, April 03, 2011

Kila la Heri Wana Msimbazi Simba Sports Club


Japo mechi ni ngumu sana,na maandalizi yalikuwa duni, historia ya Wana-Msimbazi Simba Sports Club kwenye michuano ya kimataifa ni ya kupigiwa mstari.Na hilo linatupa matumaini ya kuweka historia nyingine kwa kuwafunga hao Wakongomani TP Mazembe na hatimaye kuwavua ubingwa.

Laiti Mazembe wangekuwa na uhakika wa ushindi dhidi ya Simba katika mechi ya awali basi wasingehangaika kutaka kutoa rushwa kwa waamuzi na hatimaye kuwatishia vifo laiti wangemwaga siri hiyo baada ya waamuzi hao kukataa.Habari hiyo nimeisoma HAPA

Kila la heri wana Msimbazi

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India