Featured Posts

Saturday, April 09, 2011

Tanzania Karne ya 21: Afya Mikononi mwa Babu Loliondo na Ambulance za bajaji

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikodolea macho ambulance ya bajaji.Labda macho yangu tu lakini naona kama Pinda hana hakika kama tupo karne ya 21 au tunarejea Zama za Mawe!
Na mwenye dhamana ya afya ya Watanzania kwa sasa ni Babu wa Loliondo.

HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UNAVYOIJUA

1 comments:

La Princessa said...

Ive said this before hizi ambulance za bajaji na motorcycles kwanini jamani?..why do we opt for cheaper more painful means of transport for the needy? while we spend so arrogantly on other sectors that make no absolute sense...

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India