Featured Posts

Thursday, June 04, 2009

ELIMU BORA KWA KILA MTANZANIA INAWEZEKANA (SATIRE)

Nimekumbana na picha hii katika tovuti ya IPPMEDIA.Tujiulize:Taifa la kesho (kama wanavyopenda kusema wanasiasa) linaloandaliwa katika mazingira ya aina hii litatengeneza Watanzania wa aina gani?Yayumkinika kusema CHUKI,HASIRA,LAWAMA,na vitu kama hivyo ndio vinavyotawala vichwani mwa madogo hawa na vitaendelea kutawala.Je haya ndio maisha bora waliyotuahidi CCM 2005?

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India