Featured Posts

Friday, April 22, 2011

Makala yangu ktk Raia Mwema Toleo la April 20: "CCM na joka lenye vichwa vitatu!"


Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida mahiri la Raia Mwema inazungumzia suala lililokamata hisia za Watanzania wengi kwa sasa la CCM kujivua magamba.Makala hiyo inachambua chanzo cha magamba hayo na namna inavyomwia vigumu Mwenyekiti wa CCM,Rais Kikwete kufanikisha azma yake ya kukisafisha chama hicho (if at all ana azma hiyo).

Jarida hilo pia limesheni makala nyingine moto moto,sambamba na habari za uhakika ikiwa ni pamoja na zile zinazohusu ufisadi mpya wa "Stimulus Package".Zaidi,BONYEZA HAPA KUSOMA MAKALA HIYO na HAPA kusoma jarida zima.

1 comments:

SIMON KITURURU said...

Nje ya tundu:

Pasaka njema Mkuu!


Nje ya tundu zaidi:

Mie kijiwe hiki na mambo zako nayazimia kinoma KWELI kama hujastuki MKUU!

Ila kiadoado ukidondosha sentensi kwangu kwenye UjingaBUSARA siku mojamoja ANGALAU MARA MOJA ningejisikia vizuri kweli yani!:-(

Post a Comment

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Hot Sonakshi Sinha, Car Price in India